Monday, 11 March 2013

Kibaki set to hand over mantle of power to his godson Uhuru


Is it a twist of fate or Shakespeare’s predetermined destiny that President Kibaki will be handing over power to Mr Uhuru Kenyatta?

No one would have imagined it 51 years ago. Not even Uhuru’s mother, Mama Ngina, nor even his father, Mzee Jomo Kenyatta, would have had such inkling.

That time, Mr Kibaki, a staunch Catholic like Mama Ngina, was to be Mr Kenyatta’s godfather following the birth of Uhuru on October 26, 1961.

Executive officer

The outgoing Head of State has had his life tied by fate to the incoming President from the latter’s birth, on the eve of Uhuru (independence), when young Kibaki was the executive officer of Kanu, the party that was to usher in freedom in the country two years later.

Mr Njenga Karume, in his book From Charcoal to Gold, says he and Mr Kibaki went to visit Mama Ngina in the company of Mzee Kenyatta at home in Gatundu following the birth of a baby boy.

Mr Karume says it was Mr Kibaki who suggested to Mzee that the new-born be named Uhuru since independence was only a few months away.

Other accounts from those close to the family indicate that Mr Joseph Murumbi, the man who was to become Kenya’s second vice-president and a close friend of Mzee Kenyatta, also suggested the name.

Still, Mr Kibaki, who is expected to hand over power to Mr Kenyatta on March 26, has had to fight political wars with his godson.

Such was the bitter fight during the 2002 presidential elections pitting Mr Kibaki in Narc against Mr Kenyatta as the Kanu candidate to succeed President Moi.

Mr Kibaki was to trounce his godson, garnering 62 per cent of all the votes cast in the election.

Though political foes, Mr Kibaki still had a soft spot for Uhuru, even as they had gone different ways in politics.

This was the case after the 2005 referendum when Mr Kenyatta teamed up with Mr Raila Odinga in the Orange team that successfully campaigned to defeat the draft Constitution. Mr Kenyatta later aligned himself to his godfather ahead of the 2007 poll.

Mr Kibaki went on to appoint Mr Kenyatta as Deputy Prime Minister after a negotiated coalition government against all expectations. Many thought he would appoint former Gichugu MP Martha Karua, who was instrumental in the negotiations on the Kibaki side after violence broke out following the disputed presidential elections of 2007.

Safari kuelekea uchaguzi wa Papa yaanza kesho Vatican


Afrika na Amerika Kusini, zikilinganishwa na mabara ya Ulaya na Marekani, zinaelezwa kuwa zina idadi kubwa ya waumini wapya , makanisa yake yanajaa, idadi ya mapadri inaongezeka, tofauti na Ulaya na Marekani inakopungua

VATICAN CITY, Vatican
MCHAKATO rasmi wa kumpata kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani atakayemrithi Papa Benedict XVI aliyejiuzulu Februari 28, unaanza kesho. Katika mchakato huo, makardinali 115 wataingia kwenye Kanisa la Sistine kwa kazi hiyo ngumu ya kupiga kura.

Kura hiyo ya siri inatarajiwa kurudiwa mara kadhaa hadi apatikane mtu anayekubalika.
Tayari kanuni za uchaguzi huo zimeshaandaliwa zikiwamo za namna ya kupiga kura kwa usiri na wasimamizi wa kura.

Makardinali hao kutoka mataifa mbalimbali duniani, wamekuwapo Vatican ambako kila walipowasili walikula kiapo cha kutunza siri wakati wote wa kikao hicho muhimu.
Viongozi hao wa kidini, wataongozwa zaidi na sala na maombi kwa roho mtakatifu.

Kama ilivyokuwa katika miaka ya nyuma, kampeni haziruhusiwi katika mchakato huu mzima.

Kukosekana kwa kampeni, hata hivyo, hakuzuii watu kutoa mawazo yao kuhusu nani angefaa kuchaguliwa.

Wengine wanaipa nafasi kubwa Italia, yaliko makao makuu ya kanisa hilo, Vatican, ingawa pia kuna wale wanaofikiri kuwa sasa ni zamu ya Afrika na Amerika Kusini kutoa kiongozi wa juu wa kanisa hilo lenye waumini bilioni 1.2.

Pia, wengine wanadhani kuwa Ulaya, ambayo ina makardinali wengi zaidi, bado inastahili kutoa kiongozi huyo kama ilivyokuwa kwa Poland na Ujerumani katika miaka ya hivi karibuni.

Kwanini Afrika?
Sababu ya msingi inayotajwa kuipendelea Afrika kwa sasa ni, ongezeko la waumini wapya ambako takwimu zinaonyesha kuwa nchi kama Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Tanzania, Uganda zimo katika orodha ya 20 bora duniani kwa waumini wengi wa Kikatoliki.

Afrika na Amerika Kusini, zikilinganishwa na mabara ya Ulaya na Marekani, zinaelezwa kuwa zina idadi kubwa ya waumini wapya , makanisa yake yanajaa, idadi ya mapadri inaongezeka, tofauti na Ulaya na Marekani inakopungua .

Makardinali wawili, Francis Arinze mwenye umri wa miaka 80, raia wa Nigeria na mwenzake, Peter Turkson (64) kutoka Ghana, wamekuwa wakitajwa kuwa miongoni mwa wale wanaofaa kwa kazi hiyo.

Wakati wote wa mchakato huo, makardinali hao 115 hawatakuwa na mawasiliano yoyote na ulimwengu wa nje hadi apatikane papa mpya ndani ya wiki mbili.

Kwa pamoja, wataishi katika hosteli ya kisasa iliyomo ndani ya eneo hilo, umbali mdogo kutoka katika Kanisa la Sistine, ambalo milango na madirisha yake yamezibwa kuzuia watu kuchungulia ndani yake.
Hosteli hiyo ya kisasa inayojitegemea, imeandaliwa mahsusi kwa kazi hiyo, ikiwa na huduma zote za msingi. Ina madaktari, mapadri ambao watawahudumia makardinali hao wakihitajika.

Kila kardinali ataishi katika chumba chake kidogo chenye kitanda, meza ndogo na kabati la nguo, akisali zaidi na wakati huo akifanya tafakuri ya kina kati yake na Mungu ni nani hasa kati yao aliyeteuliwa kuliongoza kanisa hilo.
Inaelezwa kuwa wakati wote wa mchakato, makardinali hao hawazungumzi, bali kusali na kufanya tafakuri na kukutana wakati wa chakula.

Ni nchi gani zinawakilishwa?
Zipo nchi kadhaa ambazo zina uwakilishi katika uchaguzi huo.
Hizi ni pamoja na: Italia (28), Marekani (11), Ujerumani (6), Hispania, India, Brazil (5) kila moja, Ufaransa, Poland (4) kila moja Mexico, Canada (3) kila moja
Ureno, Nigeria, Argentina ( 2) kila moja

Australia, Austria, Ubelgiji, Bolivia, Bosnia Herzegovina, Chile, China, DR Congo, Colombia, Croatia, Cuba,Czech , Dominica, Ecuador, Misri, Ghana, Guinea,Honduras, Hungary, Ireland, Kenya,Lebanon, Lithuania, Uholanzi, Peru, Ufilipino, Senegal, Slovenia, Afrika Kusini, Sri Lanka, Sudan, Uswisi, Tanzania, Venezuela, Vietnam (1) kila moja.

Sunday, 10 March 2013

Ni kuonewa Ni stahili Katiba mbovu Siri za Zitto nje


SIRI kubwa kuhusu mwenendo wa Zitto Kabwe (Mb) ndani ya chama chake zimeanikwa mitaani na zinaweza kumzamisha kisiasa,.

Siku nne baada ya Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Willibrod Slaa kusema wamenasa taarifa za mawasiliano ya Zitto, baadhi ya taarifa zimepatikana jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa taarifa hizo, Zitto ananukuliwa akiapa kusaidia wagombea uongozi katika vyama vingine; na katika moja ya taarifa ananukuliwa akisema atasaidia David Kafulila kupata ubunge “hata kabla ya akina John Mnyika…”

Mnyika ni Mkurugenzi wa Mambo ya Nje wa CHADEMA na Kafulila alikuwa Afisa Habari ambaye baada ya kuondolewa wadhifa huo amekimbilia NCCR-Mageuzi. Mnyika anatarajia kugombea ubunge jimbo la Ubungo.

Naye Zitto amenukuliwa na gazeti la Mwananchi la Jumatatu akilalamika kuwa ameingiliwa katika mawasiliano yake ya baruapepe (e-mail); jambo ambalo Mkurugenzi wa Upelelezi, Robert Manumba, amedakia haraka na kusema Zitto akiwapelekea malalamiko watashughulikia.

Kwa mujibu wa mpangilio wa taarifa husika, lazima aliyezitoa amepata ufunguo wa baruapepe (password) wa ama Zitto au mwandishi wa habari wa Mwananchi, Denis Msacky.

Karibu mawasiliano yote ni kati ya Zitto na Msacky juu ya “ushujaa” wa Zitto na jinsi anavyopendwa nje ya chama huku “akichukiwa” na viongozi wake wakuu.

Katika moja ya mawasiliano, inaonyeshwa kuwa Msacky alimwandikia Zitto akieleza, “Leo hii Mrema (Augustine Lyatonga) anasema anakuheshimu wewe, lakini si Mbowe; hivyo hivyo, Lipumba (Profesa Ibrahim) na James Mbatia wanasema wewe una visheni.”

Katika mawasiliano hayo ya Jumanne, 1 Desemba 2009, saa 6.45 adhuhuri, Msacky anaonyeshwa kumwambia Zitto pia kuwa, “CCM nao…wanakusifu kwamba pamoja na kwamba unawaliza sana, lakini ni kiongozi shupavu.”

“Leo hii siasa za CHADEMA zingekuwa zinatisha kama ungekuwa mwenyekiti wa CHADEMA, vijana nchi nzima wangejiunga na chama, uko nao karibu, unaongea nao, una elimu nzuri, unajua mambo, unasoma sana,” imeeleza sehemu ya mawasiliano kutoka kwa Msacky kwenda kwa Zitto.

Kinacholeta wasiwasi ndani ya CHADEMA kinaweza kuwa lugha inayotumiwa katika mawasiliano hayo. Kwa mfano, katika waraka huohuo, Msacky ananukuliwa akiandika:

“Wanataka kukumaliza, nami sitakubali mtu ammalize rafiki yangu nikiangalia…wanasema Mbowe hata Mbatia akikaa vema anaweza kumpita kama siasa za kufukuza zitaendelea. Muhimu, usisikilize watu, tulia, urudi tupange tufanye nini? Lakini ukweli ni kwamba sasa wanakuogopa…Mwenyekiti Mtarajiwa…”

Mawasiliano yanaonyesha kuwa Zitto hakufurahishwa sana na taarifa za Mwananchi kuwa amemsaidia Kafulila magari matatu kwenda Kigoma kufanya kampeni chini ya NCCR-Mageuzi, lakini Msacky anaonyesha kumfariji.

“Kaka, mimi nimeiona story, haina matatizo zaidi ya kuwafanya akina Mbowe kusitisha mpango mbaya dhidi yako maana wanaanza kuogopa. Hata Mrema Lyatonga amesema kwamba Zitto huwa unamsaidia akiwa na shida. This shows that ur a leader katika opposition, wewe ni mtu wa maridhiano, unakuza upinzani Kigoma,” anaeleza.

Anasema, “Leo nasikia akina Mnyika wanahaha sana, waambie familia yako wasiingie katika mtego wa kuanza kuhojiwa na akina Kubenea (Saed wa MwanaHALISI), watawachanganya. Wewe usiongee kitu chochote, wabaki wanahaha, lakini for sure you are safe, na hizo kampeni za Mnyika kukuchafua huku akitaja majina ya Kafulila, ataziacha.”

Akionyesha juhudi za kushawishi, kuliwaza au kufarakanisha, Msacky anaandika, “Katika hili Zitto, mimi niko na wewe, huna kosa ambalo umefanya, na wala usihofu maana wewe utakuwa nguzo ya upinzani Tanzania…Wanakupa majina ya ajabu, wanakuita Mr Dowans, wanatumia akina Halima Mdee kukuchafua katika magazeti…”

Awali Zitto alikuwa amemwandikia Msacky akisema, “Stori niliyoiona kwenye mwananchi itaniletea matatizo sana.” Hiyo ilikuwa Jumatatu 30 Novemba 2009, saa 5.21 asubuhi. Baruapepe hiyo ilikuwa na kichwa kisemacho: “Muhimu na haraka.”

Aidha, katika mawasiliano mengine, Zitto anaendelea kuonyesha kutofurahishwa na taarifa juu ya magari matatu kwa safari ya Kafulila.

Naye anaandika kwa Msacky, “tatizo la stori ni wingi wa magari, itaonekana mimi nina magari mengi na ni fisadi unajua? Hilo ndio tatizo.”

Saini ya Zitto inatofautiana katika baadhi ya baruapepe. Pengine anaandika “zitto” na kwingine anaandika “Zi.”

Moja ya mawasiliano ambayo yanazua mashaka yanaonyesha Zitto akikiri kuwa na mawasiliano na waasi nchini Kongo akiandika, “take it from me (niamini), nina contacts nyingi sana Congo na hao rebels (waasi) huwa wananiomba sana ushauri na kutaka kuwaunganisha.”

Katika moja ya mawasiliano, Msacky anamwonya Zitto kutotumia baruapepe ya “CHADEMA kwa mawasiliano ya siri” na kutaka amwambie mama yake Shida Salum akatae kuongea na waandishi wa habari. “…nasikia Mbowe anataka mama awe akiongea na waandishi, usikubali,” alieleza.

Zitto alipoulizwa kuhusu taarifa ya Mwananchi kuwa anatembea na barua mfukoni ya kujiuzulu uanachama CHADEMA, alisema “Sina la kusema.”

Alipong’ang’anizwa kwamba imekuwaje hawezi kuzungumzia suala hilo ambalo ni muhimu kwa mustakabali wake wa kisiasa kwa chama chake, Zitto alisema, “Ni kwa sababu sitaki kuingia katika malumbano na katibu mkuu wangu (Dk. Willibrod Slaa) kwani malumbano hayo hayataijenga CHADEMA.”

Alipotakiwa kueleza juu ya baruapepe ambazo zinadaiwa kuwa mawasiliano kati yake na Msacky, haraka alijibu, “Sina la kusema.”

Alipoelezwa umuhimu wa yeye kueleza msimamo wake juu ya baruapepe hizo, Zitto alijibu, “Chochote nitakachosema sasa hivi, kitawachanganya Watanzania.

“Sitaki malumbano. Hakuna sababu ya kuwachanganya Watanzania. Hiyo haina maana yoyote,” alisema Zitto kwa sauti ya ukali. Zitto alikuwa akiongea kutoka Ujerumani kwa simu Na. +4915222493231.

MwanaHALISI ilimtafuta Msacky. Baada ya kuita kwa muda mrefu bila kupokelewa, hatimaye aliandika ujumbe “Kaka, niko katika kikao. Tuma ujumbe.”

Msacky aliulizwa, “Kaka, tumesikia kwamba umetajwa katika sakata la Zitto na chama chake na kwamba wewe ndiye mtibuaji. Je, ni kweli?” Hakujibu ujumbe na alipopigiwa simu ilikuwa inaita hadi kukatika.

Gazeti lilipowasiliana na Mnyika na kumueleza kwamba amekuwa akitajwa katika ujumbe wa Zitto na Msacky, alikiri kupokea ujumbe huo wa baruapepe uliotoka kwa mtu aliyejitambulisha kuwa ni “Mtanzania mwema.”

Alisema alipoona ujumbe mmoja unahusu Zitto kushauri Msacky kutochapisha habari za mkutano wake na waandishi wa habari, ndipo aliamua kupeleka ujumbe huo kwa Zitto.

“Nilimuuliza kuna hiki kitu nimetumiwa. Je, haya ni maandishi yako au kuna mtu ameingilia emaili yako na kujiandikia haya? Hadi leo hii, bado sijapata jibu,” alisema Mnyika kwa sauti ya masikitiko. Alisema yeye hana cha kusema na kuongeza, “labda umuulize Zitto.”

Alipoulizwa anachukuliaje suala hilo, Mnyika alisema, “Ukiniuliza mimi kwa upande wangu, nilitegemea mambo hayo yangemalizwa katika vikao vya chama na si kwa vyombo vya habari. Lakini kwa hatua ya hivi sasa, nadhani Zitto bado anayo fursa ya kulieleza hili.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, Freeman Mbowe alipoulizwa juu ya madai ya kuwapo njama za kuhujumu chama chake zinazofanywa na Msacky kwa kumtumia Zitto, haraka alijibu, “tuna utaratibu wetu wa kushungulikia mambo ndani ya CHADEMA.”

Alisema, “Sina la kusema. CHADEMA ina utaratibu wake wa kushughulikia mambo yake.”

Kwa kadri mawasiliano ya Zitto na Msacky yanavyoonyesha na iwapo yatathibitishwa kuwa kweli, jambo ambalo linaanza kuthibitishwa na Zitto kwa kulalamika kuingiliwa kwenye faragha, basi uhusiano wake katika chama utakuwa umepata nyufa.

Wachunguzi wa siasa za upinzani nchini wanasema kwa hali hii, uwezekano wa Zitto kubaki ndani ya chama chake ni mdogo. “Ama atajiondoa mwenyewe au hatimaye atafukuzwa,” ameeleza mkufunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Hata hivyo, Zitto amenukuliwa na Mwananchi akisema, “Sitaki kugombana na mtu mimi. Wala msiniweke kwenye kifungo cha siasa. Ni bora niishi huru kuliko katika mateso ya siasa za kipumbavu kabisa. Nitafanya maamuzi ambayo hayajawahi kufikiriwa.”

Wiki iliyopita Kafulila aliwaambia waandishi wa habari kwamba Zitto atafanya maamuzi makubwa ambayo hawakutegemea.



Mtandao wa watetezi wa haki za binadamu ambao ni mkusanyiko wa asasi zaidi ya 70 za kiraia zinazotetea haki za binadamu (THRD-Coalition) , kwa kushirikiana na Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC),vimeelezea kulaani vikali shambulio la kinyama alilofanyiwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Absalom Kibanda.

Uchunguzi tulioufanya bado haujatujapatia habari za undani zaidi na uhakika wa tukio hilo, lakini kwa taarifa za awali kwa asilimia kubwa linahusiana na kazi yake ya utetezi wa haki za binadamu kupitia taaluma yake ya uandishi wa habari.

"Tunasema hivyo kwa sababu vitisho dhidi ya wanahabari na watetezi wengine wa haki za binadamu,vinataka kuzoeleka sasa hapa nchini jambo ambalo halikuwapo katika miaka ya nyuma.

"Takribani ndani ya miezi 10 sasa, zaidi ya watetezi wa haki za binadamu 10 wakiwamo waandishi wa habari wameshajeruhiwa, wamepata vitisho au kuuawa."

Ilisema taarifa hiyo iliyosainiwa na Onesmo Olengurumwa, Mratibu wa Mtandao huo kuwa matukio hayo yanaashiria lengo la kutaka kuzima sauti za watetezi wa wanyonge kwa visingizio mbalimbali na wakati mwingine matukio haya yakipewa sura tofauti ikiwamo uhalifu wa kawaida, visa vya kudhulumiana na visasi vya kimapenzi.

"Hatupendi kuingilia wala kukwamisha utendaji kazi wa jeshi hilo, lakini pia hatupendi wanahabari na watetezi wengine wafanye kazi yao katika mazingira ya woga. Tunaamini kwamba zipo njia muafaka zaidi za kushughulikia masuala yanayohusu taaluma ya habari," ilisema taarifa hiyo.

Mtandao huo umewataka watu wote wanaotumika au wanaoendeleza wimbi la mashambulizi kwa wanahabari na watetezi wote wa haki za binadamu kwa ujumla, waache kufanya hivyo kwani wataliingiza nchi katika machafuko makubwa pamoja na kuisihi Polisi na Serikali kubeba jukumu lao la kuhakikisha usalama wa watetezi wa haki za binadamu, na raia wote.
Mtandao wa watetezi wa haki za binadamu ambao ni mkusanyiko wa asasi zaidi ya 70 za kiraia zinazotetea haki za binadamu (THRD-Coalition) , kwa kushirikiana na Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC),vimeelezea kulaani vikali shambulio la kinyama alilofanyiwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Absalom Kibanda.

Uchunguzi tulioufanya bado haujatujapatia habari za undani zaidi na uhakika wa tukio hilo, lakini kwa taarifa za awali kwa asilimia kubwa linahusiana na kazi yake ya utetezi wa haki za binadamu kupitia taaluma yake ya uandishi wa habari.

"Tunasema hivyo kwa sababu vitisho dhidi ya wanahabari na watetezi wengine wa haki za binadamu,vinataka kuzoeleka sasa hapa nchini jambo ambalo halikuwapo katika miaka ya nyuma.

"Takribani ndani ya miezi 10 sasa, zaidi ya watetezi wa haki za binadamu 10 wakiwamo waandishi wa habari wameshajeruhiwa, wamepata vitisho au kuuawa."

Ilisema taarifa hiyo iliyosainiwa na Onesmo Olengurumwa, Mratibu wa Mtandao huo kuwa matukio hayo yanaashiria lengo la kutaka kuzima sauti za watetezi wa wanyonge kwa visingizio mbalimbali na wakati mwingine matukio haya yakipewa sura tofauti ikiwamo uhalifu wa kawaida, visa vya kudhulumiana na visasi vya kimapenzi.

"Hatupendi kuingilia wala kukwamisha utendaji kazi wa jeshi hilo, lakini pia hatupendi wanahabari na watetezi wengine wafanye kazi yao katika mazingira ya woga. Tunaamini kwamba zipo njia muafaka zaidi za kushughulikia masuala yanayohusu taaluma ya habari," ilisema taarifa hiyo.

Mtandao huo umewataka watu wote wanaotumika au wanaoendeleza wimbi la mashambulizi kwa wanahabari na watetezi wote wa haki za binadamu kwa ujumla, waache kufanya hivyo kwani wataliingiza nchi katika machafuko makubwa pamoja na kuisihi Polisi na Serikali kubeba jukumu lao la kuhakikisha usalama wa watetezi wa haki za binadamu, na raia wote.

Besigye beats security to attend Kategaya’s burial



Presidential security appeared anxious in Itojo, Ntungamo District, yesterday when Dr Kizza Besigye made a surprise appearance, joining thousands of mourners at the burial of First Deputy Prime Minister Eriya Kategaya.

Amidst a heavy downpour, the arrival of the former leader of the Forum for Democratic Change coincided with the landing of a military helicopter carrying President Museveni.

Dignitaries from government institutions like, judiciary, military and parliament attended the somber occasion that saw Mr Museveni describe his former bosom buddy as a “well-formed gentleman who kept no grudges.

“We disagreed twice but reconciled. In 1973, we disagreed on the setbacks we encountered when we attacked Mbarara. We parted ways; he went to Lusaka (Zambia) and I to Arusha. We later reconciled and worked together,” Mr Museveni said.

Making mention of the 2001-2003 events that split the once bosom-buddies, Mr Museveni said;“If you go left and I go right, that does not stop us from working together in the future,” giving the example of the third deputy premier Moses Ali.

“I salute him for being a fully reformed person in terms of character and ideology. There should be no need for us as men to endlessly be at loggerheads,” he added.

Kategaya fell out with the President and joined the opposition when he opposed the lifting of presidential term limits from the Constitution by the Seventh Parliament at the reported instigation of the country’s leader. He was sacked from Cabinet and Mr Museveni, who had then come to his second and last constitutionally-accepted a five-year term and went on to run for office again in 2006.

Ms Joan Kategaya, first wife to the deceased, asked government to construct a fully-equipped hospital in Kategays’s memory.

“We were only looking for a hydro-therapy machine to save his life. That is why we had to go to Nairobi,” Ms Kategaya said.

Mr Museveni proposed the construction of a technical school in Ntungamo to be named after Kategaya.

Besigye arrives
At approximately 1.30pm, Dr Besigye walked into the main square at the Itojo home just as Mr Museveni’s chopper appeared over the Kategaya homestead.

Catching mourners by surprise, Dr Besigye’s arrival was announced by the master of ceremonies, State Minister for Labour Mwesigwa Rukutana, prompting a rapturous welcome from the crowd.
Current FDC president, Maj. Gen. Mugisha Muntu left his chair to welcome Dr Besigye who sat next to him.

Since Tuesday, Dr Besigye has repeatedly been arrested almost the moment he steps out of his Kasangati residence. Police has accused him of attempting to restart the walk-to-work activities that nearly paralysed operations in Kampala city for close to a year.

FDC western youth leader Francis Mwijukye said it was imperative for Besigye to bury his former comrade-in-arms, who was one of the founders of the FDC.

In Kampala, security around Dr Besigye’s residence appeared unaware that he had slipped past them.
They (security personnel) sleep hungry, on water and biscuits and are expected to guard and follow a person they do not know what his day’s plans are. Their superiors take all the operations money. Besides, we have the capacity to be anywhere at any time,” Mr Mwijukye said.

Security sources have told this newspaper Mr Museveni’s security detail was unsure how the public would react in the presence of the two politicians in the same place, who are former friends, but now arch rivals.

Uhuru Kenyatta's victory speech


My fellow Kenyans, thank you.

Thank you for all your patience and your support along the way

Asanteni Sana.

I thank God for sustaining us and for bringing us this far.

I thank all those who have remained vigilant in prayer for our nation during this time.

I want to thank the people of the republic of Kenya who have shown patience over the last few days as we all awaited the outcome of this election.

I thank the thousands of officials who worked with the IEBC to make this, the most free and most fair general election in our nation's history.

Despite the challenges that you faced, you managed to keep the trust of Kenyans and to do your job professionally.

While we look forward to a day when electoral results are relayed in real-time to curb anxiety, we acknowledge that every process can be refined and I pledge to give you my support as you seek more efficient ways to conduct future elections.

I would also like to acknowledge and thank the police and all security agencies for their diligence and commitment to ensuring security.

I would especially like to acknowledge the police officers who lost their lives on the eve of the elections. They made the ultimate sacrifice, laying down their lives,in the name of democracy.

To their families, I offer my sincere condolences for your loss and I assure you that I, and the people of Kenya are standing with you in prayer.

The incidents that took the lives of our officers are a reminder that security remains one of the biggest challenges in our nation. It is unacceptable to see such violent and unnecessary loss of life. As we move forward, I pledge to meet all threats to our national security with the full force of Kenya's resources and with utmost urgency.

To the Kenyan media - you have shown remarkable responsibility as this country’s fourth estate. You have shown sensitivity in the dissemination of news and impartiality in your treatment of the results. You have no doubt helped to keep the country calm.

We are grateful for this, and we will continue to consider you our true partners as we embark on our journey.
To the presidential candidates – I salute you all.

You have contributed to ensuring a robust democratic process.

I in particular want to single out my brother, Raila Odinga, for his spirited campaign.

I know that all the candidates have made tremendous personal sacrifices for the progress of our country and today, I welcome them to join us in moving our nation forward.

My fellow Kenyans today, we celebrate the triumph of democracy; the triumph of peace; the triumph of nationhood.

Despite the misgivings of many in the world- we demonstrated a level of political maturity that surpassed expectations.

We dutifully turned out; we voted in peace; we upheld order and respect for the rule of law and we maintained the fabric of our society.

That is the real victory today. A victory for our nation. A victory that demonstrates to all that Kenya has finally come of age. That this, indeed, is Kenya’s moment.

I am honored and humbled that in a free and fair election- you, the people of Kenya, have placed your trust in me- to lead our nation as your next President.

I am here because of you.

I am here because of the unyielding support of millions of Kenyans, from all walks of life, from every corner of our nation, who sacrificed their time, energy and resources to make this campaign a success.

Thousands of you volunteered through Team Uhuru. Hundreds of you mobilized through grassroots organizations. Hundreds of you campaigned through your university associations and millions of Kenyans across the nation engaged us through our various online platforms.

Throughout this process you, the people, have remained unwavering in your belief not only in me - but in the possibility of a stronger, more prosperous Kenya.

A Kenya that has room for all our hopes and aspirations.

Last but not least, I am here because of my family:
My wife, Margaret; our children and all the members of my family.

However, this is has never been about me, this has been about you- about the people of Kenya. You have put your faith not in one man , but in a team.

In our Deputy President – Elect: Hon William Ruto. A man with a proven trackrecord, who has demonstrated to all of us, his ability to both speak and act with un-matched zeal and energy.

You put your trust in my sister, Charity Ngilu and my brother, Najib Balala both of whom have remained committed to serving the people and putting our nation first.

You put your trust inTNA, URP and the wider Jubilee family.

And because you gave us this trust, I am proud to say that the majority of women who were elected to parliament come from the Jubilee Coalition – a fact that demonstrates this teams commitment to supporting women and to supporting the full implementation of all the provisions within our constitution.

I want to say to all the Jubilee aspirants- those who won, and especially, those who did not – you have done your parties, and this coalition- proud.Your dedication, to the ideals that the Jubilee Coalition represents has been an inspiration to me. We came together as a team, and we will continue to work together as a team- for the good of all the people of Kenya.

However , today is about more than one Coalition or Party.

It is about all Kenyans: those of you who voted Jubilee and those who did not.

My fellow Kenyans, My pledge to you is that as your President, I will work on behalf of all citizens regardless of political affiliation.

I will honor the will of Kenyans and ensure that my Government protects their rights and acts without fear or favor; in the interests of our nation.

To all those who won various seats –regardless of what party or coalition you may belong to - let us remember that we are , first and foremost, Kenyans, and that the people have bestowed upon us the responsibility to work for them.

I extend a hand of friendship and cooperation to you so that together, we can truly serve the Kenyan people.

In the nearly 5 decades since independence, we have made great strides as a nation.

Kenya has experienced huge success but there have also been enduring problems.
In the last 10 years, under the Presidency of Mwai Kibaki we have begun to overcome many of our national challenges.

We are indebted to his leadership and grateful for the services he has rendered to our country.

As I assume office, my task, and the task before us all is to secure the gains we have made while focusing on solving the challenges that remain.

My fellow Kenyans, the elections are now over.

Today, in itself, is not an end ; it is a beginning and there is much work to be done.

That work begins with all of us taking personal responsibility for the future of our country- the inheritance of our children.

For those who are celebrating let us be modest in victory. To those who voted for any of my opponents - let us keep in mind the broader victory of Kenya, and continue to uphold peace. Let us remember that while, in a democracy, some contestants must, inevitably, lose - the citizens of a country never do. In this election, every vote mattered and from this moment, every voice that contributes to the national dialogue- will be heard.

Fellow Kenyans, our duty now is to return to our lives. To return to our jobs, our businesses; our farms – and continue making the daily decisions that will transform Kenya.

I promise to do my part, but I need every Kenyan to play their part as well.

To our brothers and sisters in the region and in Africa as a whole we appreciate your support and encouragement before, during and after the elections. This is the true spirit of Africa. We look forward to playing our rightful role in the region and in the continent. The African star is shining brightly and the destiny of Africa is in our hands.

To the nations of the world I give you my assurances that I and my team understand that Kenya is part of the community of nations and while as leaders we are, first and foremost, servants of the Kenyan people, we recognize and accept our international obligations and we will continue to co-operate with all nations and international institutions– in line with those obligations.

However we also expect that the international community will respect our sovereignty and the democratic will of the people of Kenya.

Indeed it is the desire of the people of Kenya to be a nation that is at peace with itself, at peace with her neighbors, at peace with our continent and at peace with the world at large.

We will pursue this ideal - upholding the values enshrined in our constitution and continuing in the spirit embodied in the words of our national anthem

Oh God of all creation
Bless this our land and nation

Justice be our shield and defender

May we dwell in unity, peace and liberty.

Plenty be found within our borders.

Thank you,

God bless you And God bless the Republic of Kenya.

Haki za Binadamu nao watoa tamko



Mtandao wa watetezi wa haki za binadamu ambao ni mkusanyiko wa asasi zaidi ya 70 za kiraia zinazotetea haki za binadamu (THRD-Coalition) , kwa kushirikiana na Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC),vimeelezea kulaani vikali shambulio la kinyama alilofanyiwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Absalom Kibanda.

Uchunguzi tulioufanya bado haujatujapatia habari za undani zaidi na uhakika wa tukio hilo, lakini kwa taarifa za awali kwa asilimia kubwa linahusiana na kazi yake ya utetezi wa haki za binadamu kupitia taaluma yake ya uandishi wa habari.

"Tunasema hivyo kwa sababu vitisho dhidi ya wanahabari na watetezi wengine wa haki za binadamu,vinataka kuzoeleka sasa hapa nchini jambo ambalo halikuwapo katika miaka ya nyuma.

"Takribani ndani ya miezi 10 sasa, zaidi ya watetezi wa haki za binadamu 10 wakiwamo waandishi wa habari wameshajeruhiwa, wamepata vitisho au kuuawa."

Ilisema taarifa hiyo iliyosainiwa na Onesmo Olengurumwa, Mratibu wa Mtandao huo kuwa matukio hayo yanaashiria lengo la kutaka kuzima sauti za watetezi wa wanyonge kwa visingizio mbalimbali na wakati mwingine matukio haya yakipewa sura tofauti ikiwamo uhalifu wa kawaida, visa vya kudhulumiana na visasi vya kimapenzi.

"Hatupendi kuingilia wala kukwamisha utendaji kazi wa jeshi hilo, lakini pia hatupendi wanahabari na watetezi wengine wafanye kazi yao katika mazingira ya woga. Tunaamini kwamba zipo njia muafaka zaidi za kushughulikia masuala yanayohusu taaluma ya habari," ilisema taarifa hiyo.

Mtandao huo umewataka watu wote wanaotumika au wanaoendeleza wimbi la mashambulizi kwa wanahabari na watetezi wote wa haki za binadamu kwa ujumla, waache kufanya hivyo kwani wataliingiza nchi katika machafuko makubwa pamoja na kuisihi Polisi na Serikali kubeba jukumu lao la kuhakikisha usalama wa watetezi wa haki za binadamu, na raia wote.

Je hii ni njia ya kuwapa watanzania ajira, kama mtakuwa mnawalimbikizia wabunge madaraka?



abunge watatu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na mmoja wa Baraza la wawakilishi Zanzibar wameteuliwa kuwa wajumbe wa Bodi ya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC).

Wabunge hao ni Faith Mtambo na Mary Chatanda (wote viti maalumu (CCM), Mbunge wa Nzega (CCM), Dk Hamis Kigwangala na Ali Mzee Ali ambaye ni mjumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar.

Katika orodha hiyo ya wajumbe wapya, pia yumo Wilson Masilingi ambaye alikuwa Mbunge wa Muleba Kusini mpaka mwaka 2010, ambapo alishindwa katika kura za maoni ndani ya chama chake na mbunge wa sasa wa jimbo hilo, Profesa Anna Tibaijuka ambaye pia ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa inaeleza kuwa , Rais Jakaya Kikwete amemteua kwa kipindi cha pili, Balozi Christopher Liundi kuwa mwenyekiti wa Bodi hiyo kwa kipindi cha miaka mitatu na kwamba uteuzi huo umeanza rasmi Machi 6,mwaka huu.

Liundi aliteuliwa kushika nafasi hiyo mwaka 2010, huku wajumbe wake wakati huo wakiwa ni Mbunge wa Singida Kaskazini (CCM), Lazaro Nyalandu, Rose Lugembe, Shabani Mnubi, Nuru Milao, Joseph Chilambo, Wilfred Nyachia, Makumba Kimweri, Dk Aggrey Mlimuka na Issa Suleiman.

Wajumbe wengine wa bodi hiyo mpya ni Aggrey Mlimuka, Dash-Hood Mndeme, Dk Ali Mndali na Balozi mstaafu Abdi Mshangama. Kwa nini wana siasa wapewe nafasi za uongozi? Kwa nini sisi watanzania tusifike sehemu tuone kwamba kuwa mwanasiasa siyo kwamba unaweza kufanya kila kitu?
Je ni kujenga ajira kweli huku kama wale watu wenye madaraka tayari wataendelea kulimbikiziwa madaraka?Wale vijana amabao wanamemaliza vyuo vyetu je wao wataenda kufanya kazi wapi au hadi wajiunge na CCM?

Kibanda angolewa jicho nchini Afrika ya Kusini



Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri (Tef), Absalom Kibanda ambaye amelazwa Hospitali ya Millpark, Johannesburg nchini Afrika Kusini kutokana na kupata majeraha makubwa baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana, ameng’olewa jicho.


Taarifa iliyotolewa na Katibu wa Tef, Neville Meena inaeleza jana aliingizwa kwenye chumba cha upasuaji katika hospitali hiyo, kwa ajili ya kufanyiwa upasuaji na kurekebishwa sura.


“Nachukua fursa hii kuwapa maendeleo ya tiba ya Mwenyekiti wa Tef Absalom Kibanda, ambaye amelazwa Hospitali ya Millpark, Johannesburg nchini Afrika Kusini, leo ameingizwa theater (chumba cha upasuaji) ili kuanza kufanyiwa upasuaji na kurekebishwa sura, baada ya kupungua kwa uvimbe katika majeraha aliyokuwa nayo sehemu mbalimbali za mwili wake, hususan kichwani na usoni,” alisema Meena katika taarifa yake hiyo.

Meena alifafanua kuwa upasuaji huo unazingatia matokeo ya uchunguzi uliofanywa kwa zaidi ya saa 48 na jopo la madaktari, ambao walibaini kwamba mbali na madhara ya awali, Kibanda pia aliumizwa taya lake la kushoto.

“Kuhusu jicho lake la kushoto ambalo pia lilijeruhiwa, madaktari walisema wangetoa uamuzi kuhusu aina ya upasuaji ambao wangeufanya baada ya kubaini hali halisi, wakati watakapokuwa wakirekebisha sura yake ambayo iliharibiwa kwa majeraha,” alisema.

Alisema Kibanda ambaye pia ni Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya New Habari (2006) Ltd ambao ni wachapishaji wa magazeti ya Rai,

Mtanzania, Dimba na Bingwa, bado ana maumivu makali kutokana na majeraha aliyopata, kwani hata wakati akipelekwa kwenye upasuaji huo uliotarajiwa kuchukua saa zaidi ya nne, alikuwa akilalamika kwa maumivu zaidi kwenye kidonda kilichopo kwenye mguu wake wa kushoto.


“Tutaendelea kufahamishana kila hatua ya tiba ya mwenyekiti wetu, na tunaomba tuendelee kumwombea ili apone haraka,” alisema Meena.

Juzi jopo la madaktari wanaomtibu katika hospitali hiyo walibaini madhara zaidi aliyoyapata Kibanda, kutokana na unyama aliofanyiwa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia Jumatano wiki hii.

Madhara hayo ni pamoja na kukatika kwa mshipa unaounganisha pua na mdomo, kulegea kwa meno sita, awali ilibainika kuwa ametobolewa jicho lake la kushoto, kung’olewa meno mawili, kunyofolewa kucha, kukatwa mara tatu kwenye kichwa chake.


Katika hatua nyingine, Rais Jakaya Kikwete jana alimtembelea Kibanda hospitalini alikolazwa akiongozana na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.


Meena alisema Rais Kikwete amesema Serikali itajitahidi kuwasaka waliohusika na tukio la utesaji wa Kibanda, ili wafikishwe mahakamani kwa mujibu wa sheria.

Rais Kikwete na Kinana wapo Afrika Kusini kwa ziara ya kikazi, ambapo waliamua kutumia fursa hiyo kwenda kumtembelea mhariri huyo.

Hadi Kibanda anasafirishwa kwenda Afrika Kusini Alhamisi wiki hii kwa matibabu zaidi, viongozi wa Serikali waliofika kumjulia hali ni pamoja na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Hussein Mwinyi pamoja na Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, wahariri na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vya habari nchini.

Balozi India ahoji uadilifu viongozi nchini


“Sielewi vizuri sababu za Tanzania kutowashtaki mahakamani viongozi wanaokataa kutaja mali, labda ndivyo mnavyotaka, lakini nchini kwetu mali za viongozi ziko wazi, tena iko tovuti maalumu ambayo viongozi huandikwa mali zao, sisemi sheria zenu mbaya, bali ni maamuzi yenu Watanzania kuangalia,” alisema Shaw katika mahojiano maalumu na mwandishi wa habari hii jana ofisini kwake.


Wakati Watanzania wakiilalamikia Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma kuwa ni mzigo kwa taifa kwa vile haina meno ya kuwashughulikia wanaokataa kutaja mali, Balozi wa India nchini, Debnath Shaw anasema kwao usipotaja mali unashtakiwa.

“Sielewi vizuri sababu za Tanzania kutowashtaki mahakamani viongozi wanaokataa kutaja mali, labda ndivyo mnavyotaka, lakini nchini kwetu mali za viongozi ziko wazi, tena iko tovuti maalumu ambayo viongozi huandikwa mali zao, sisemi sheria zenu mbaya, bali ni maamuzi yenu Watanzania kuangalia,” alisema Shaw katika mahojiano maalumu na mwandishi wa habari hii jana ofisini kwake.

Hapa nchini iko sheria inayowataka viongozi kutangaza mali zao, hata hivyo, hakuna rekodi yoyoye inayoonyesha kama kuna kiongozi yeyote nchini aliyewahi kufikishwa mahakamani kwa kukataa kwake kutaja mali alizonazo.

Hali kadhalika mali zinazotangazwa haziko wazi kwa wananchi, hata mtu anapokwenda ofisi za tume ya maadili ili kujua kiongozi gani anamiliki nini, hatakiwi kudurufu alichokiona wala kutangaza, hivyo kuondoa maana au umuhimu wa chombo hicho.

India yakataa kuikopesha tena Tanzania

Balozi huyo pia alizungumzia taarifa za India kukataa kuikopesha tena matrekta Tanzania akisema “Hatujakaa kutoa mkopo kwa sababu nyingine zozote, bali mkopo una taratibu zake”.

Hivi karibuni Rais Jakaya Kikwete alilitaka Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa (Suma JKT), kulipa deni.Serikali za India na Tanzania ziliingia mkataba wa mkopo wa Sh40 bilioni kwa ajili ya ununuzi wa matrekta ambayo yalikabidhiwa kwa Suma JKT, hata hivyo kumekuwa na kashfa za baadhi ya vigogo kunufaika isivyo halali na matrekta hayo, tofauti na ilivyolengwa kwamba yangekopeshwa zaidi wananchi wa kawaida wanaojihusisha na kilimo.

Mkopo huo uliosainiwa mwaka 2010 utadumu kwa miaka mitano huku Tanzania kupitia Suma JKT, ikitakiwa kulipa Sh42 bilioni ikiwemo riba.

Hadi sasa Suma JKT imekusanya Sh16 bilioni ambazo ni kiasi kidogo ikilinganishwa na ukubwa wa deni, jambo ambalo Kikwete alikiri lingeweza kuifanya isikidhi vigezo vya kukopeshwa tena.

Hivi karibuni Tanzania iliomba tena mkopo, lakini India ilikataa. Balozi alipoulizwa kama kutolipwa madeni kwa ufasaha ni sababu ya kutokopeshwa tena alijibu kwa kifupi “Nafikiri madeni yanapolipwa, tutapata nguvu za kukopesha zaidi”.

Alipoulizwa kuhusu Serikali kuwa na deni kubwa, hivyo kuwekewa vikwazo vya kupewa mikopo, Waziri wa Fedha, William Mgimwa alisema kuwa jambo hilo analifahamu na kutaka atafutwe leo mchana ili aweze kulitolea ufafanuzi.

Mgimwa ambaye ni mbunge wa Kalenga alisema, “Kwa sasa niko jimboni, ila kuhusu hili suala la Suma JKT naomba unitafute kesho (leo) mchana tutazungumza na kukupa ufafanuzi zaidi.”