Friday, 21 February 2014

MATOKEO YA KIDATO CHANNE 2013 YATOKA WANAFUNZI WAFAULU ZAIDI KISWAILI ,HESABU KAMA KAWAIDA KUSHINDWA PIA

Shule za kata zimeendelea kuzorota katika matokeo ya kidato cha nne yaliyotangazwa hivi karibuni na mheshimiwa  Dk. Charles Msonde katibu wa wzara ya  Elimu nchini. Kuzorota huko kwa matokeo ya shule hizi kunatokana na kutokuwa na walimu wa kutosha na vitendea kazi kama vitabu na maabara za kisasa. Shule binafsi zimendelea kufanya vizuri. Je serikali inafanya nini kuhakikisha kwamba inaboresha elimu nchini Tanzania?

No comments: